MAJILIS
Jumapili, 16 Februari 2014
watu zaidi ya mia moja wameuwawa kaskazini mashariki mwa nigeria
Maafisa katika eneo la kaskazini mashariki mwa Nigeria wanasema kuwa zaidi ya watu mia mmoja wameuwawa katika shambulizi linaloshukiwa kutekelezwa na wanamgambo wa kiislamu wa Boko Haram.
Uharibifu wa Boko Haram
Soma zaidi »
Nyumbani
Jisajili kwenye:
Maoni (Atom)